UKURASA WA 173; Maamuzi Uliyofanya Awali Na Maamuzi Mapya.

By | June 22, 2015
Mambo unayofanya sasa yanatokana na maamuzi uliyofanya awali. Na maamuzi haya uliyofanya awali yalitokana na uelewa uliokuwa nao kwa kipindi hiko unafanya maamuzi hayo. Sasa swali linakuja kwako je sasa hivi bado una uelewa kama uliokuwa nao kipindi unafanya maamuzi? Kama jibu ni ndio basi endelea na kile unachofanya. Kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In