Ni wakati gani sahihi kuchukua mkopo wa biashara?

By | July 27, 2015
Kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo mazingira ya kuendesha biashara yanavyozidi kuwa mazuri na rahisi. Miaka kumi iliyopita ili upate mkopo wa biashara ingekuchukua muda mrefu sana na kuupata tu unashukuru maana sio wote waliokuwa wanaomba walipata. Lakini sasa hivi kama una vigezo unaweza kupata mkopo ndani ya siku moja. Sasa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz