UJUMBE LEO; Unataka Kupata Fursa Nzuri? Mbinu Ni Hii Hapa.

By | August 2, 2015
Mara nyingi watu wamekuwa wakijikuta kwenye wakati mgumu sana. Hii ni baada ya kuingia kwenye fursa ambayo waliambiwa ni nzuri ila wanapoingia wanakutana na changamoto nyingi sana. Fursa nzuri sana ni ile ambayo unaitengeneza mwenyewe, au unaitafuta mwenyewe na unaweza kuifanya kwa utofauti. Kama fursa umeisikia kwa wengi mara nyingi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UJUMBE WA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz