Kama Unataka Ushindi Anzia Hapa.

By | August 3, 2015
Hakuna ushindi unaoanza kabla ya akili yako kukubali kwamba wewe ni mshindi. Kila kitu kinaanzia na mawazo yako mwenyewe. Kama utakuwa na mawazo kwamba wewe ni mshindi, utashinda. Kama utaamini wewe ni mtu wa kushindwa utaendelea kushindwa. Wewe ni mshindi, amini hivyo na ndio kitakachotokea. Washirikishe Wengine:FacebookTwitterLinkedInMoreWhatsAppTelegram Related

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UJUMBE WA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz