#UJUMBE_LEO; Watu Watano Wa kuambatana nao Na Watu Watano Wa Kuwakimbia Haraka.

By | August 4, 2015
Wote tunajua kwamba maisha yako ni wastani wa watu watano wanaokuzunguka. Kama watu watano wanaokuzunguka wanakukatisha tamaa na kukutudisha nyuma huwezi kufanikiwa hata ukiwa na juhudi kiasi gani. Kama watu watano wanaokuzunguka wanakupa moyo na kukusaidia ni lazima utafanikiwa. Fanya hilo zoezi hapo juu na hakikisha unawakata watu watano leo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UJUMBE WA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz