Zingatia haya kuendesha biashara yenye mafanikio.

By | August 10, 2015
Kama kuna kitu muhimu kwa kila mfanyabiashara, basi ni muda. Kuna wakati unatamani siku ingekuwa na masaa mawili au matatu ya ziada ili uweze kukamilisha majukumu yako ya kibiashara. Katika wakati huu unakuta umeacha kuimiliki biashara na biashara inaanza kukumiliki wewe. Hii ni hali ya hatari sana kwenye maisha yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz