FALSAFA MPYA YA MAISHA; Hii Hapa Ni Njia Iliyo Wazi Kabisa Kwako Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | October 18, 2015
Tunaendelea kuongeza misingi kwenye falsafa yetu hii mpya ya maisha. Kumbuka kila mara kufuata misingi hii. Usiache hata siku moja kufuata misingi. Misingi hii tunayoiweka kwenye falsafa yetu mpya ya maisha ni misingi ambayo imedhibitishwa kuleta matokeo mazuri kwenye maisha. Ni misingi ambayo imetumiwa enzi na enzi na imekuwa inaleta

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz