Sababu za biashara kushindwa ni za ndani na sio nje ya biashara.

By | November 2, 2015
Karibu tena kwenye kona yetu hii ya mjasiriamali ambapo tunajifunza mambo muhimu kuhusu biashara na ujasiriamali. Kupitia kona hii unapata mbinu mbalimbali za kuiwezesha biashara yako kwenda vizuri na wewe kufikia malengo yako ya kibiashara. Kama wote tunavyojua biashara zina changamoto nyingi. Kabla hujaingia kwenye biashara unaweza kuwa na mipango

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz