UCHAMBUZI WA KITABU MIDAS TOUCH(MSHIKO WA MAAJABU)

By | November 21, 2015
Kitabu MIDAS TOUCH ni kitabu ambacho kimeandikwa na wajasiriamali wakubwa wawili wa nchini marekani. Wajasiriamali hawa ni ROBERT KIYOSAKI na DONALD TRUMP. Kitabu hiki kinaelezea misingi mikuu mitano ya ujasiriamali ambayo inawatofautisha wajasiriamali wanaofanikiwa na wale ambao wanashindwa. Misingi hii mitano inafananishwa na vidole vitano vya mkono na hivyo mjasiriamali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz