UCHAMBUZI W AKITABU; SPEAK LIKE CEO (Ongea Kama Mkurugenzi).

By | December 12, 2015
Kitabu speak like ceo kimeandikwa na mwandishi Suzanne Bates, hiki ni kitabu ambacho kinatoa mbinu za mawasiliano bora kwa viongozi. Wote tunajua ya kwamba uongozi ni mawasiliano, na mafanikio yoyote ya mtu, yanatokana na jinsi gani anavyoweza kuwasiliana na kushirikiana na watu wengine. Kama unataka kuwa kiongozi mkubwa na mwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz