BIASHARA LEO; Majukumu Makubwa Matano Kwa Kila Mmiliki Wa Biashara Kuzingatia.

By | March 15, 2016
Watu wengi hufikiri biashara ni kwenda kununua vitu kwa bei ya jumla, kuja kuviweka kwenye eneo lako la biashara na kuuza kwa reja reja. Unakaa eneo lako la biashara na mtaja akipita anaona upo pale unauza, anakuja, anauliza bei unamjibu, akitaka kununua unampa, kama asipotaka anaondoka. Au wengine wanafikiri ukishakuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz