UKURASA WA 480; Una nini?

By | April 24, 2016
Kitu chochote kikubwa unachotaka kufanya kwenye maisha yako, kinaanza na kile ambacho unacho kwa sasa. Hakuna njia nyingine unayoweza kuanzia. Hivyo kama unasubiri siku moja ukishapata kitu fulani ndiyo uanze, unajichelewesha bure. Kwa kusubiri hivi hutaweza kuanza. Lakini kama utaangalia ni nini unacho sasa, na kufikiria njia bora ya kuanza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz