ONGEA NA KOCHA; Jambo Muhimu La Kuzingatia Kabla Hujahukumu.

By | May 24, 2016
Habari za leo rafiki? Karibu kwenye mazungumzo yetu ambapo tunakwenda kushirikishana mambo mbalimbali ambayo ni muhimu kwetu ili kuweza kuishi maisha bora, ya furaha na mafanikio makubwa. Katika mazungumzo ya leo tutakwenda kuangalia upande wa hukumu ambazo tumekuwa tunazitoa kila siku. Kama kuna kitu ambacho binadamu tupo vizuri, basi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA COACH MAKIRITA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz