KITABU; BIASHARA NDANI YA AJIRA, JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA YAKO UKIWA BADO UMEAJIRIWA.

By | June 11, 2016

KITABU BIASHARA

BIASHARA NDANI YA AJIRA ni kitabu ambacho kinakupa mbinu za kuanzisha na kukuza biashara yako ukiwa bado umeajiriwa. Ni kitabu ambacho kila mwajiriwa anapaswa kukisoma kwa sababu kina maarifa muhimu ya kumwezesha mwajiriwa kujikomboa kiuchumi.

Wote ni mashahidi kwamba hali ya ajira kwa sasa imebadilika sana. Na kipato cha ajira kimekuwa hakitoshelezi. Na hata zile njia ambazo watu walikuwa wanatumia kujipatia kipato cha ziada kama posho, marupurupu na hata rushwa kwa sasa vimedhibitiwa kwa kiasi kikubwa.

Hivyo njia pekee kwa waajiriwa kuweza kujitengenezea uhuru wa kipato ni kuwa na vyanzo mbadala vya mapato. Kupitia kitabu hiki itajifunza mbinu za kuanzisha biashara na kuikuza. Pia itajifunza aina za biashara unazoweza kufanya ukiwa bado kwenye ajira. Utajifunza uwekezaji unaoweza kuanza kufanya ukiwa hapo kwenye ajira yako.

Kikubwa na muhimu zaidi utajifunza mifereji nane ya kipato unayotakiwa kujijengea ili kuweza kufikia uhuru wa kifedha. Utajifunza changamoto na hatari za kuepuka na pia kuweza kuilinda kazi yako pale unapofanya biashara.

Kitabu hiki ni mwongozo muhimu kwako kufikia uhuru wa kifedha kwa kuwa na biashara ya pembeni wakati umeajiriwa.

Soma kitabu hiki na yatumie yale ambayo umejifunza kwenye kitabu hiki katika kuboresha kazi yako na biashara yako pia. Na mwishowe utafikia uhuru wa maisha yako na mafanikio makubwa.

Nakutakia kila la kheri kwenye usomaji wa kitabu hiki, nina imani utajifunza mengi na utayatumia kwenye kazi yako, biashara yako na maisha yako kwa ujumla.

YALIYOMO kwenye kitabu hiki.

UTANGULIZI. 6

AJIRA NI SEHEMU NZURI YA KUANZIA BIASHARA. 7

HATARI YA KUCHOMA MELI MOTO. 11

UNA MUDA WA KUTOSHA. 15

CHANZO KIMOJA CHA KIPATO NI UTUMWA. 20

BIASHARA INAHITAJI MUDA KUKUA. 24

TENGENEZA MPANGO BORA KWAKO. 27

KUBALI KUPOTEZA. 31

BIASHARA UNAZOWEZA KUFANYA UKIWA BADO UMEAJIRIWA. 34

KIPAJI ULICHONACHO.. 34

UTAALAMU NA UZOEFU WAKO.. 37

BIASHARA ZA KAWAIDA. 39

BIASHARA YA MTANDAO.. 40

KILIMO CHA KIBIASHARA. 41

UWEKEZAJI UNAOWEZA KUFANYA UKIWA BADO UMEAJIRIWA. 43

UWEKEZAJI KWENYE MFUKO WA UMOJA. 43

UWEKEZAJI KWEYE SOKO LA HISA. 45

UWEKEZAJI KWENYE MALI 45

MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOANZA BIASHARA UKIWA KWENYE AJIRA. 48

HATARI ZA KUEPUKA ILI BIASHARA YAKO IFANIKIWE. 54

KUWA NA MSHIRIKA. 58

USIFANYE KILA KITU PEKE YAKO. 61

FAIDA NYINGINE ZA KUENDELEA KUBAKI KWENYE AJIRA. 63

NIDHAMU.. 63

MTANDAO.. 64

RASILIMALI 65

MIFEREJI NANE YA KIPATO UNAYOHITAJI KUWA NAYO. 67

TENGENEZA MFUMO. 72

LINDA KAZI YAKO. 75

WAKATI SAHIHI WA KUONDOKA KWENYE AJIRA. 79

KITU MUHIMU KUFANYA MUDA WOTE. 85

ANZA SASA, NUNUA UHURU WAKO. 88
JINSI YA KUPATA KITABU HIKI;
Kitabu kinatumwa kama nakala tete yaani softcopy kwenye mfumo wa pdf. Kwa mfumo huu unaweza kusoma kitabu hiki kwenye simu yako kama ina uwezo wa kusoma vitabu na pia unaweza kusoma kwa kutumia kompyuta.
Kupata sura mbili za kitabu hiki na kuanza kukisoma sasa bonyeza maandishi haya na kupakua kitabu. Ili kupata kitabu kizima fuata utaratibu uliopo hapo chini.

Unatumiwa kitabu hiki kwa njia tatu, utachagua ile unayotaka wewe;
1. Kwa njia ya wasap, unaweza kutumiwa kwenye namba yako ya wasap na ukapakua kusoma.
2. Kwa njia ya telegram, pia unaweza kutumiwa kwenye namba yako ya telegram na ukapakua kusoma.
3. Kwa njia ya email, unaweza kutumiwa kitabu hiki moja kwa moja kwenye email yako.
Gharama ya kitabu hiki ni shilingi za Kitanzania elfu kumi tu (tsh 10,000/=). Ili kupata kitabu hiki tuma fedha kwenye namba zifuatazo;
1. Kama unatumia M- PESA tuma kwenda namba 0755 953 887 (jina AMANI MAKIRITA)
2. Kama unatumia TIGO PESA au AIRTEL MONEY tuma kwenda namba 0717 396 253 (jina AMANI MAKIRITA)
3. Kama upo nje ya Tanzania tuwasiliane kwa wasap 0717 396 253 au email na nitakupa utaratibu mzuri wa kulipia kulingana na ulipo.
Ukishatuma malipo ya kitabu, tuma ujumbe wa kawaida au wasap kwenda namba 0717 396 253 wenye jina la kitabu BIASHARA NDANI YA AJIRA na utatumiwa kitabu hiki kizuri.

Karibu sana rafiki yangu, ujipatie kitabu hiki ambacho kitakuwezesha kuanzisha na kukuza biashara yako ukiwa bado umeajiriwa.
Kama bado hujapata sura mbili za mwanzo za kitabu hiki zisome kwa kupakua kitabu hiki. Bonyeza maandishi haya na utapakua kitabu hiki na uanze kusoma.
TUPO PAMOJA,
Rafiki na Kocha wako,
Makirita Amani.

makirita@kisimachamaarifa.co.tz

Category: VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz