KITABU; KWA NINI MPAKA SASA WEWE NI SIO TAJIRI.

By | June 11, 2016

KWA NINI MPAKA SASA WEWE SIYO TAJIRI

Madhumuni ya kuandika kitabu hiki ni kuwasaidia wale wote wenye

malengo ya kufanikiwa kwenye maisha yao na kuwa matajiri. Kwa

bahati mbaya sana kwenye mfumo wa elimu hakuna sehemu ambapo tunafundishwa somo linalohusiana na kutengeneza utajiri.

Wachache wanaojua siri za kupata utajiri wamekuwa wakinufaika nazo na wengi ambao hawajui siri hizi wamekuwa wakiteseka kila siku kuendesha maisha yao.

Kupitia kitabu hiki utajifunza sababu ishirini na tano ambazo zinakuzuia wewe kuwa tajiri. Na kwa kila sababu utakayojifunza utapewa hatua za kuchukua ili kuweza kuondokana na sababu hiyo na kufikia utajiri.

Kitabu hiki kinamfaa mtu yeyote ambaye ana malengo makubwa ya kufanikiwa kwenye maisha yake na kuwa tajiri. Kwa kusoma na kutumia mafunzo haya kutamsaidia yeyote mwenye lengo la kuwa tajiri kufikia lengo lake.

Yaliyomo kwenye kitabu hiki;

Utangulizi.

Wewe ni masikini.

Sababu ya kwanza; Hujaamua kuwa tajiri.

Sababu ya pili; Huna mpango na maisha yako.

Sababu ya tatu; Unafanya kile ambacho kila mtu anafanya.

Sababu ya nne; Hufurahii unachofanya.

Sababu ya tano; Unafikiri kuna mtu atakuja kukutoa hapo ulipo.

Sababu ya sita; Unafikiri huna bahati.

Sababu ya saba; Unafikiri kuna njia ya mkato ya kupata utajiri.

Sababu ya nane; Una mtizamo hasi kuhusu biashara na maisha.

Sababu ya tisa; Mfumo wa elimu umekuharibu.

Sababu ya kumi; Unataka kufanya kila kitu.

Sababu ya kumi na moja; Una matumizi mabovu ya hela.

Sababu ya kumi na mbili; Unamfanyia mtu mwingine kazi.

Sababu ya kumi na tatu; Umezungukwa na watu ambao wana mawazo ya kimasikini.

Sababu ya kumi na nne; Hujali muda.

Sababu ya kumi na tano; Hujawahi kuchukua hatua.

Sababu ya kumi na sita; Huna washauri wazuri.

Sababu ya kumi na saba; Umetawaliwa na woga.

Sababu ya kumi na nane; Unalalamika sana.

Sababu ya kumi na tisa; Unafanya kila kitu mwenyewe.

Sababu ya ishirini; Huwekezi kwenye maendeleo yako binafsi.

Sababu ya ishirini na moja; Hujali afya yako.

Sababu ya ishirini na mbili; Unakata tama mapema.

Sababu ya ishirini na tatu; Hujatoa kafara.

Sababu ya ishirini na nne; Unafikiri muda bado.

Sababu ya ishirini na tano; Huna nidhamu.

 

Jinsi ya kupata kitabu hiki;

Kitabu hiki kipo kwenye mfumo wa soft copy yaani pdf. Huu ni mfumo wa nakala tete ya kitabu ambapo unaweza kukisoma kitabu hiki kwenye simu yako kama unatumia smartphone, unaweza kusomea kwenye tablet na pia unaweza kusomea kwenye kompyuta yako.

Kitabu hiki kinatumwa kwa njia ya email hivyo kinaweza kukufikia popote ulipo duniani dakika chache baada ya kukilipia.

Gharama ya kitabu hiki ni tsh elfu tano (5,000/=).

Kupata kitabu hiki tuma fedha kwa njia ya mtandao wa simu kama ifuatavyo;

M-PESA; 0755 953 887 (JINA AMANI MAKIRITA)

TIGO PESA; 0717 396 253 (JINA AMANI MAKIRITA)

AIRTEL MONEY; Tuma moja kwa moja kwenda namba ya tigo pesa 0717 396 253

Ukishatuma fedha tuma ujumbe kwenye moja ya namba hizo hapo juu, ujumbe uwe na email yako pamoja na jina la kitabu kisha utatumiwa kitabu.

Nunua vitabu ili kuongeza maarifa na uweze kufanya maamuzi sahihi.

Karibu sana,

TUPO PAMOJA,

Rafiki na Kocha wako,

Makirita Amani,

makirita@kisimachamaarifa.co.tz

 

Category: VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz