UKURASA WA 631; Hakuna Siri…

By | September 22, 2016
Chochote unachotaka kujua, tayari kipo mbele yako, chochote ulichokosa ili kufikia malengo yako, kipo hapo ulipo. Hakuna siri yoyote, hakuna chochote kilichofichwa, kila kitu unacho, au unaweza kukipata na kukifikia. Kitu ambacho watu wengi wanakosa ni umakini, hatupo makini kuangalia kile ambacho tunakitaka. Tunazifunga akili zetu kwa kuamini kwamba tunachotaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz