UKURASA WA 633; Aina Mbili Za Kushindwa…

By | September 24, 2016
Kwenye maisha, kazi na hata biashara, zipo aina mbili za kushindwa. Lakini kabla hatujaangalia aina hizi, kwanza tuangalie kushindwa. Kushindwa ndiyo kitu ambacho kimekuwa kinawapa wengi hofu pale wanapotaka kufanya mambo makubwa kwenye maisha yao. Lakini hofu hii imekuwa haiwasaidii chochote, badala yake imekuwa inawazuia kufanya yale makubwa kwenye maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz