UKURASA WA 637; Upo Mahali Sahihi Na Huu Ni Wakati Sahihi…

By | September 28, 2016
Ili ufanikiwe, unahitaji kuwa mahali sahihi na kwa wakati sahihi, hii ni kauli ambayo tumekuwa tunaisikia kila siku. ni kauli yenye maana kubwa, lakini watu hawaichukulii kwa uzito wake. Watu huichukulia juu juu kwamba wanatakiwa kuwa sehemu sahihi na kwa wakati sahihi. Hivyo kama sasa hawafanikiwi, moja kwa moja wanachukulia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz