UKURASA WA 642; Kuanzisha Biashara Siyo Kugumu, Ugumu Uko Hapa…

By | October 3, 2016
Kuanzisha biashara hakujawahi kuwa zoezi gumu, japo wengi huwa wanafikiria hivi. Huwa wanaona ni vigumu sana kuanzisha biashara kwa sababu wamekuwa anaangalia ni kipi wanakosa. Kwa kuangalia wanachokosa wanashindwa kutumia kile walichonacho kwa wakati huo. Mtu yeyote kwa kutumia mazingira na hali aliyonayo, anaweza kuanzisha biashara yake, kubwa au hata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz