UKURASA WA 659; Vitu Viwili Unavyopaswa Kuvichukia Kwenye Maisha Yako.

By | October 20, 2016
Hupaswi kuwa na chuki kwenye maisha yako, kwa sababu chuki inaharibu mambo mengi kwenye maisha yako, hasa chuki hiyo inapokuwa juu ya wengine. Lakini kuna vitu ambavyo tunapaswa kuvichukia, ili visiweze kukudhuru. Na kwa sisi wana mafanikio, sisi ambao tumekataa kuwa kawaida na kuamua kuwa bora zaidi, sisi ambao tunataka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz