UKURASA WA 660; Pata Cheti Hiki Ambacho Hakiwezi Kupotea.

By | October 21, 2016
Siku za hivi karibuni kumekuwa na matangazo mengi ya vyeti kupotea. Kila chapisho la gazeti lina zaidi ya ukurasa mzima wenye matangazo ya kupotea kwa vyeti. Kikubwa cha kushangaza ni kwamba sehemu kubwa ya vyeti vinavyotangazwa kupotea, vimepotea miaka mingi iliyopita. Vipo vyeti vinatangazwa kupotea miaka 10 mpaka 20 iliyopita.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz