UKURASA WA 663; Tatizo La Wanaokupinga Na Kukukataa…

By | October 24, 2016
Katika jambo lolote ambalo unafanya kwenye maisha yako, watajitokeza watu ambao watakupinga. Watakuambia haiwezekani au unakosea na maneno mengine ya aina hiyo ya kukatisha tamaa. Pia utakataliwa mara nyingi kwenye kile unachofanya, utahitaji msaada wa wengine na wao watakataa. Au utahitaji kuwashawishi lakini hawatakubaliana na wewe. Hii ni hali ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz