UKURASA WA 681; Tafuta Vikwazo Unavyoweza Kuvivuka…

By | November 11, 2016
Kila mtu anayeomba ushauri huwa anaomba kushauriwa ni kitu gani rahisi anachoweza kufanya ili kufanikiwa. Mtu atakuambia hebu nishauri ni biashara gani ninayoweza kufanya na isinisumbue ili niweze kufanikiwa? Au mwingine atakuuliza ni kazi gani nifanye sasa ambayo haitakuwa na usumbufu kwangu na itaniletea mafanikio? Unajua jibu ni nini? Jibu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz