💥 #TAFAKARI YA LEO; MCHAKATO VS TUKIO…

By | November 19, 2016
Hongera rafiki yangu kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo, Ni nafasi ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kwenye kile tulichochagua kufanya. Tumia muda wako wa leo vizuri rafiki, kwa sababu ukishapita, huwezi kuupata tena. Asubuhi ya leo tutafakari kuhusu MCHAKATO na TUKIO. Vitu vingi ambavyo tunaviona kwa wengine

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz