💥 #TAFAKARI YA LEO; FURSA MPYA…

By | December 9, 2016
Habari za asubuhi ya leo rafiki yangu? Ni matumaini yangu kwamba uko vizuri na unakwenda kuianza siku hii ya kipekee ukiwa na hamasa ya hali ya juu. Najua leo utakwenda kuweka juhudi kubwa kwenye kile unachofanya. Na nina uhakika utafanya makubwa leo. Asubuhi ya leo tutafakari kuhusu FURSA MPYA…. Kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz