💥 #TAFAKARI YA LEO ; KUULIZA NI UJANJA….

By | March 21, 2017
Habari za asubuhi ya leo rafiki? Ni siku nyingine nzuri sana kwetu ambapo tumepata nafasi ya kipekee kwenda kuweka juhudi kubwa ili kupata matokeo makubwa. Siku hii ya leo twende tukaweke NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA ili tuweze kupata matokeo bora sana. Asubuhi ya leo tutafakari kuhusu KUULIZA NI UJANJA…. Waswahili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz