💥 #TAFAKARI YA LEO; UVUMILIVU NA KASI….

By | March 31, 2017
Hongera rafiki kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Tumepata nafasi nyingine ya kipekee, ambapo tunakwenda kuweka juhudi kubwa ili tuweze kupata matokeo bora. Siku ya leo tunakwenda KUTHUBUTU, KUSHINDA NA KUSHUKURU. Asubuhi ya leo tutafakari kuhusu UVUMILIVU NA KASI. Hakuna mtu ambaye hapendi kuwa na maisha bora na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz