Angusha Na Tawala Watu Hawa Wawili Ili Uweze Kuwa Na Mafanikio Makubwa.

By | May 4, 2017
Kuna watu wawili ambao wamesimama kati yako hapo ulipo wewe na pale ambapo unataka kufika, yaani mafanikio yako kimaisha. Hii ina maana kwamba, ukiweza kuwavuka watu hao wawili, hakuna cha kukuzuia wewe kufika pale unapotaka kufika. Lakini kama ilivyo, shida kubwa ya kutatua tatizo siyo tatizo lenyewe, bali kulijua tatizo.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FEDHA NA UWEKEZAJI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz