Sheria Tano Muhimu Za Kufuata Wakati Wa Kuchagua Hisa Za Kununua.

By | May 10, 2017
Hisa ni moja ya aina ya uwekezaji ambapo unaweka fedha yako kwenye makampuni ya umma, fedha inatumika kwenye kuendesha makampuni hayo na baadaye unanufaika kwa thamani ya hisa kuongezeka na/au kupata gawio kutoka kwenye kampuni pale inapotengeneza faida. Uwekezaji kwenye hisa ni moja ya maeneo muhimu ambayo kila mwekezaji anapaswa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz