💥 #GHAHAWA ☕; SAHAU GHARAMA AMBAZO UMESHAINGIA…

By | May 18, 2017
Hongera rafiki kwa siku hii nzuri ya leo. Nina imani umeimaliza siku yako ya leo vizuri, ukiwa na mengi ambayo umekamilisha na kujifunza pia. Nikupe hongera kwa hilo. Nachukua nafasi hii kukukaribisha kwenye #GHAHAWA ya leo ambapo tunaendelea kuangalia namna tunavyofanya makosa kwenye kufikiri kwetu. Makosa haya ya kufikiri yanatufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #GHAHAWA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz