💥 #GHAHAWA☕☕; USIPOKEE ZAWADI ZA BURE…

By | May 22, 2017
Habari za jioni rafiki? Hongera kwa siku hii njema uliyokuwa nayo leo? Je ni ushindi gani umepeta leo? Yapi umejifunza leo? Haya ni maswali mawili ya kujibu ili kuimaliza leo vizuri. Karibu kwenye #GHAHAWA yetu jioni ya leo, tushirikishane yale machache muhimu ya kutuwezesha kufikiri kwa makini, na kutoruhusu hisia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #GHAHAWA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz