πŸ’₯ #GHAHAWA β˜• β˜•; MAMLAKA ZINAWEZA KUKUPOTOSHA…

By | May 24, 2017
Hongera kwa siku hii nzuri ya leo rafiki. Umeshinda mengi na kujifunza mengi siku ya leo. Hakikisha unakwenda kuyafanyia yale uliyojifunza ili uweze kuwa bora zaidi. Karibu kwenye #GHAHAWA β˜• β˜• jioni ya leo, tuchangamshe akili zetu kwa kutikisa fikra zetu kidogo. Yapo maamuzi mengi ambayo tumekuwa tunafanya bila ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #GHAHAWA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz