šŸ’„ #GHAHAWA ā˜• ā˜•; UNA UHAKIKA HULINGANISHI?

By | May 25, 2017
Habari za siku yako ya leo rafiki? Je yapi makubwa uliyofanya leo? Na zipi changamoto zimekufanya ujifunze zaidi? Usisahau kupitia haya kabla hujamaliza siku hii nzuri. Karibu kwenye #GHAHAWA ā˜• ā˜• jioni ya leo, Kupitia ghahawa tunachangamsha akili zetu ili kuweza kufikiri sawasawa na kuacha kufanya makosa yanayotugharimu. Leo nianze

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #GHAHAWA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz