💥#TAFAKARI IANZE SIKU KWA SALAMU CHANYA.

By | June 2, 2017
Habari za asubuhi ya leo mwanamafanikio, Hongera kwa siku hii nzuri sana ya leo. Leo ni siku ya kipekee sana kwetu, tunayo nafasi ya kwenda kufanya makubwa na tutegemee kupaga matokeo bora kutokana na juhudi kubwa tulizoweka. Asubuhi ya leo tutafakari kuhusu kuianza siku na maneno chanya. Tunaishi kwenye jamii

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz