Njia Tano (05) Bora Za Kutoa Mafunzo Kwa Wafanyakazi Wa Biashara Yako.

By | June 16, 2017
Huwezi kuendesha biashara yenye mafanikio makubwa wewe peke yako. Unahitaji msaada wa watu wengine wengi ambao watafanyia kazi majukumu muhimu kwenye biashara yako. Hivyo kuajiri ni kitu ambacho kila mfanyabiashara akifikirie hata kama biashara ni ndogo kabisa. Lakini pia kuajiri pekee hakutoshi kukuletea mafanikio kwenye biashara yako. Bali unahitaji kutoa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz