BIASHARA LEO; Kamwe Usimlalamikie Mteja….

By | June 24, 2017
Ndiyo kuna wateja wasumbufu, wateja ambao wanayafanya maisha yako kibiashara kuwa magumu mno. Wateja wanaotaka kunufaika wao bila ya kujali biashara yako. Wateja wanaotaka kupata zaidi kwa kutoa kidogo. Wateja wanaokopa na hawalipi. Wateja ambao wakishakopa wanahama kabisa. Lakini nisichotaka wewe ufanye ni kukaa na kuanza kuwalalamikia wateja wa aina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz