BIASHARA LEO; Tengeneza Utegemezi Wa Mteja Kwenye Biashara Yako….

By | June 27, 2017
Mahusiano yoyote bora na ya aina yoyote ile, yamejengwa kwenye msingi wa utegemezi. Pale ambapo kila mmoja anamtegemea mwenzake kwa kitu fulani, ndipo umuhimu wa kila mmoja unapoonekana na mahusiano kuwa bora, pale ambapo kila mtu anatimiza kile anachotegemewa. Kwenye biashara pia hali ni hiyo, pale mteja na mfanyabiashara wanapokuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz