BIASHARA LEO; Epuka Kosa Hili La Muda Unapoanza Biashara Yako.

By | July 18, 2017
Kuna kosa moja kubwa sana la muda ambalo watu wengi wanaoingia kwenye biashara huwa wanalifanya. Kosa hilo ni kujikadiria muda mdogo wa biashara kuweza kusimama yenyewe na kupata faida. Watu wengi huingia kwenye biashara wakitegemea kuanza kutengeneza faida ndani ya muda mfupi tangu wanapingia. Lakini uhalisia umekuwa ni tofauti na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz