BIASHARA LEO; Maana ya neno HAPANA kwenye biashara…

By | July 24, 2017
Kama unafanya biashara na hujawahi kuambiwa neno HAPANA, huenda kuna makosa unafanya kwenye biashara yako. Labda unaifanya kwa viwango vya chini sana, au huna mpango wa kuikuza. Lakini kwa kawaida, neno HAPANA utalisikia sana kwenye biashara, mno yaani. Na utalisikia kwa kila mtu, kuanzia wateja wako, wafanyabiashara wengine, washirika wako,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz