BIASHARA LEO; Malengo Yako Kibiashara Yanakusukuma Kiasi Gani?

By | July 28, 2017
Moja ya sababu za biashara nyingi kudumaa, yaani biashara kuwa pale pale miaka nenda miaka rudi, ni wamiliki wa biashara hizo kuwa na malengo ambayo hayaendani na biashara zao. Labda malengo yanakuwa madogo sana, kiasi kwamba wanayafikia bila ya kuhitaji juhudi za ziada. Kwa mfano kama unataka biashara ikupe hela

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz