BIASHARA LEO; Hebu Tukumbushane Tena Kwa Nini Unapaswa Kuwa Na Biashara…

By | September 13, 2017
Nimekua nakuambia hili mara kwa mara, na leo nakukumbusha tena kwamba siyo lazima kila mtu ajiajiri na kuwa na biashara. Lakini kila mtu anapaswa kuwa na mifereji mingi ya kipato, hasa kwa walioajiriwa. Kutegemea mshahara pekee kama njia kuu ya kipato, ni hatari mno, kama ambavyo kila mtu amekuwa anaona

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz