BIASHARA LEO; Mahitaji Binafsi Na Mahitaji Ya Wengine Kwenye Biashara…

By | September 18, 2017
Zipo biashara ambazo huwa zinaanza kwa hamasa na nguvu kubwa. Biashara hizo zinakua kwa kasi sana, watu wanapata mahitaji yao na wanaridhishwa sana. Lakini baada ya muda, biashara hizi zinaacha kuwapendeza watu, zinatoa huduma mbovu na watu kuzikimbia. Yapo mengi yanayoweza kusababisha hali ya aina hii kwenye biashara, lakini kubwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz