UWEKEZAJI LEO; Aina Mbili Za Amana Zinazopatikana Kwenye Soko La Hisa La Dar Es Salaam.

By | September 19, 2017
Watu wengi wanaposikia soko la hisa, basi hufikiri kinachouzwa na kununuliwa ni hisa pekee. Lakini huu siyo ukweli. Kwenye soko la hisa kuna bidhaa mbalimbali za kifedha ambazo zinapatikana. Bidhaa hizi za kifedha kwa pamoja zinajulikana kama amana. Na hizi ndizo hupatikana kwenye masoko ya hisa na njia nyingine za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UWEKEZAJI LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz