BIASHARA LEO; Bidhaa Bora Haihitaji Punguzo La Bei…

By | September 20, 2017
Moja ya mjadala mkubwa kwenye biashara, hasa biashara ndogo ni iwapo mtu unaweza kuvutia wateja zaidi kwa kuweka punguzo la bei, au kuuza bei rahisi kuliko wengine. Na mara nyingi majibu ni ndiyo ndani ya muda mfupi, utavutia wateja ndani ya muda mfupi, lakini iwapo na wengine nao watapunguza bei,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz