BIASHARA LEO; Wateja Wako Wanatamani Sana Kitu Hichi Kimoja Kutoka Kwako…

By | October 5, 2017
Mtandao wa intaneti na mitandao ya kijamii imempa kila mtu sauti, kila mtu sasa anaweza kuongea, kila mtu anaweza kutangaza chochote na kuwafikia watu wengi zaidi. Kibiashara hili limeleta changamoto mpya kwa wateja. Wanasikia kelele nyingi sana kiasi kwamba wanashindwa kujua wachukue hatua gani. Pale kila mtu anapoongea na kuahidi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz