BIASHARA LEO; Mshauri Muhimu Kuhusu Huduma Kwa Wateja Kwenye Biashara Yako Ni Huyu…

By | October 9, 2017
Huwa nasema mtu wa kwanza kuchukua ushauri wake kuhusu wateja wa biashara yako ni wewe mwenyewe. Na unafanya hivyo kwa kuangalia huduma unazopata kutoka kwa wafanyabiashara wengine pale unapokwenda kupata huduma mbalimbali, hata kama haziendani na biashara yako. Kila mmoja wetu, huwa anapata hisia fulani anapokwenda kwenye biashara nyingine. Huenda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz