#UKURASA WA 1031; Jinsi Ya Kuwa Sumaku Ya Fedha….

By | October 27, 2017
Nenda kwenye kazi au biashara yoyote, kusanya watu 100 bila ya mpangilio maalumu, linganisha kipato wanachopata wote, utagundua kwamba wachache wana kipato kikubwa, huku wengi wakiwa na kipato kidogo na cha kawaida. Hili lipo kwenye kila eneo. Sasa wale wasiojua, wanachofanya wanawaangalia wachache wanaofanya vizuri, wanaotengeneza kipato kikubwa na kusema

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz