UKURASA WA 1045; Fanya Kwa Kiasi Na Jua Wakati Wa Kuacha…

By | November 10, 2017
Hata kitu kizuri, kikifanyika kupita kiasi, kinakuwa madhara. Kila kitu kinapaswa kufanywa kwa kiasi, na kiasi sahihi cha kufanya ni changamoto kwa wengi. Hata utafutaji wa fedha, unapaswa kufanya kwa kiasi, ili uweze kuendelea na zoezi hilo na muhimu zaidi, usiwe mtu wa kupata wewe tu na wengine wakakosa. Watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz