MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1046; Fanya Kama Unaanza Upya…
Moja ya vikwazo vikubwa sana kwenye mafanikio yetu, ni sisi wenyewe. Mawazo ambayo tunakuwa nayo juu ya vitu au watu fulani, hutuzuia kabisa kuchukua hatua, hutufanya tushindwe kabla hata hatujaanza. Upo mfano mmoja wa kijana aliyeajiriwa kwenye duka kwa ajili ya kutafuta wateja. Kazi yake ilikuwa kuwatembelea watu na kuwashawishi