UKURASA WA 1052; Anza, Mbele Kutakuwa Rahisi Zaidi…

By | November 17, 2017
Waliosema mwanzo ni mgumu walikuwa sahihi kabisa. Kitu chochote ambacho kinafanywa kwa mara ya kwanza huwa kigumu. Na hata mwanzo wa kufanya kitu huwa ni mgumu kuliko mwendelezo. Mashine zinarahisisha kazi, lakini utatumia nguvu nyingi kuiwasha mashine kuliko nguvu inayotumika kuifanya mashine iendelee kwenda. Utatumia nguvu nyingi kumpata mteja wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz